AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dogo Janja baada ya kubanwa kwenye 18 za #XXL na kuulizwa na @mamybabytz kama kweli yeye na @ireneuwoya8 wameachana ajibu hivi "Hatujaachana ni sisi tumeamua kutoweka sana mambo yetu wazi na ndiyo maana unakuta hatuna picha nyingi tulizopiga wote" Baada ya kusema hayo ikabidi amvutie waya mkewe.
"Nimerudi juzi, na sijaenda na Dongo Janja sababu yeye pia ana ratiba zake za kufanya na sioni haja ya kuongozana nae kila sehemu wakati kila mtu ana ratiba zake" pia akaongeza kwa kuwaambia watu "Watu wafanye mambo yao na waache kufuata mambo ya watu" Irene Uwoya
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK