Juma Tatu ni Siku ya Kazi Kama Kawaida Rais Magufuli Ametangaza ni Siku ya Maombolezo na Si Mapumziko-Ikulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Juma Tatu ni Siku ya Kazi Kama Kawaida Rais Magufuli Ametangaza ni Siku ya Maombolezo na Si Mapumziko-Ikulu
IKULU imeeleza kuwa siku ya Jumatatu tarehe 24 Septemba, 2018, itakuwa ni siku ya kazi kama kawaida. Siku 4 alizotangaza Rais Magufuli ni za maombolezo na sio mapumziko.



Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano ya Ikulu, Gerson Msigwa ameandika;



“. Napenda kutoa ufafanuzi kuwa Jumatatu tarehe 24 Septemba, 2018 ambayo ni siku ya mwisho ya maombolezo ya Kitaifa, itakuwa ni siku ya kazi kama kawaida. Mhe. Rais Magufuli ametangaza siku 4 za MAOMBOLEZO na sio MAPUMZIKO.”
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad