AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MKALI wa Muziki wa R&B Bongo, Juma Khalid ‘Jux’ amesema msanii mwenzake ambaye pia ni mpenzi wake, Vanessa Mdee ‘Vee Money’ kwake ni kila kitu kutokana na kumsapoti katika muziki wake.
Jux aliiambia Risasi Vibes juzikati wakati akisherehekea bethidei yake iliyofanyika ndani ya Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar kuwa, muziki kwake ni kazi na pia upo kwenye damu hivyo anamshukuru Vee Money pamoja na wazazi wake kwa sapoti yao kubwa wanayoionesha kwake.
“Kiukweli namshukuru Mungu kwa sababu nimejikuta nimezaliwa na kipaji cha uimbaji na pia wazazi wangu wamekuwa wakinipa sapoti kubwa kwenye kazi yangu na pia mpenzi wangu Vee Money, amekuwa mtu muhimu sana na kila kitu katika maisha yangu,”alisema Jux.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK