AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akichonga na Risasi Vibes, Joh Makini alisema kwamba wimbo huo kwake ni ‘Hip Hop Gospo’ wenye ujumbe ‘strong’ na si mwisho wa kuimba nyimbo za namna hiyo, ataendelea kila anapopata idea kwa sababu Mungu ni kila kitu kwake.
“Hakuna ambaye hafahamu kwamba Mungu ni kila kitu kwenye maisha ya binadamu, nimeimba wimbo huu ili kufikisha ujumbe kwa mashabiki zangu kufahamu kwamba suala la Mungu kutufanikisha kwenye maisha yetu si la kumwachia yeye tu. “Sisi pia tunatakiwa kupambana kwa namna zetu nay eye anabariki nia zetu na kufanya tupate kila tunachotamani,” alimaliza Joh Makini.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK