Kamanda Mambosasa Afunguka Kuhusu Kukamatwa kwa Maua Sama na Soudy Brown

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa muziki Bongo, Maua Sama anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam.

Muimbaji huyo anashikiliwa kwa kile kinachoelezwa ni kuweka video mtandaoni akiimba wimbo wake 'Iokote' huku akikanyaga fedha. Pia Maua Sama anashikiliwa pamoja na Mtangazaji wa Clouds FM, Soudy Brown.

"Ni kweli tunamshikilia msanii Maua Sama kutokana na uharibifu wa pesa hizi za noti za elfu 10, kwa sasa tupo katika mahojiano na ushahidi ukikamilika tutampandisha Mahakamani. Ni kosa kisheria kuchezea fedha za kitanzania kwa mtu yoyote", amesema Mambosasa.

Iokote ni wimbo mpya wa Maua Sama ambao unafanya vizuri kwa sasa, wimbo huo amemshirikisha Hanstone.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad