AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo anashikiliwa kwa kile kinachoelezwa ni kuweka video mtandaoni akiimba wimbo wake 'Iokote' huku akikanyaga fedha. Pia Maua Sama anashikiliwa pamoja na Mtangazaji wa Clouds FM, Soudy Brown.
"Ni kweli tunamshikilia msanii Maua Sama kutokana na uharibifu wa pesa hizi za noti za elfu 10, kwa sasa tupo katika mahojiano na ushahidi ukikamilika tutampandisha Mahakamani. Ni kosa kisheria kuchezea fedha za kitanzania kwa mtu yoyote", amesema Mambosasa.
Iokote ni wimbo mpya wa Maua Sama ambao unafanya vizuri kwa sasa, wimbo huo amemshirikisha Hanstone.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK