Lady Jaydee Awaacha Njia Panda Mashabiki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Lady Jaydee Awaacha Njia Panda Mashabiki
Malkia wa Bongo Fleva Lady Jaydee amewashtua mashabiki kwa kuwaacha wakibaki na alama ya kuuliza.

Msanii huyo kupitia mtandao wake wa Instagram ameweka picha akiwa na Juliana Kanyomozi na kuandika ujumbe ambao unaonyesha kuwa kuna ujio wa ngoma yao mpya.

"🛑 ✋🏾 WAIT 🛑 ✋🏾 .....||......26th October 2018 ......| |Kaa Macho |," ameandika Jaydee."

Kutokana na ujumbe huo kunauwezekano mkubwa wawili hao wakaachia wimbo wao mpya Oktoba 26 ya mwaka huu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad