Lulu Diva Mbioni Kufungua Kituo Cha Watoto Yatima

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Lulu Diva Mbioni Kufungua Kituo Cha Watoto Yatima
BAADA ya Muziki wa Bongo Fleva kuonekana kumuendea sawa, hitmaker wa Ngoma ya Ona aliomshirikisha Rich Mavoko, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amesema kuwa yupo mbioni kufungua kituo cha watoto yatima.

 Akizungumza na Star Showbiz, Lulu Diva alisema kuwa, amekuwa akiguswa sana na maisha ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu ambao hawana baba wala mama hivyo akaona kwenda kutoa tu misaada mara kwa mara kwenye vituo vyao haitoshi bora kufungua kituo chake kitakachowasaidia.

 “Nimefuatilia taratibu zote za kufungua, kiwanja kipo maeneo ya Tegeta hivyo ni muda muafaka kuwasaidia watoto yatima wanaoishi katika mazingira magumu,” alisema Lulu Diva ambaye anawafunika mastaa wengi wa kike Bongo kwa kutembea na gari la thamani aina ya Jeep Wrangler.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad