AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda Muliro amesema mtoto aliyefanyiwa ukatili huo ni wa kike ambaye anasoma kidato cha kwanza shule ya Sekondari Magomeni na alifanyiwa hivyo usiku wa kuamkia Septemba 1, 2018 maeneo ya Boko Magereza.
''Hili ni kosa la jinai na alikusudia huwezi kusema ni bahati mbaya wakati mtu amenunua mafuta na amefanya maandalizi kabisa, kwahiyo sisi kama chombo cha dola kazi yetu ni kuhakikisha tunamfikisha katika mkono wa sheria kwa ukatili aliomfanyia mtoto wake mwenyewe'', amesema.
Kamanda Muliro ameweka wazi kuwa mtuhumiwa atafikishwa mahakamani muda wowote kuanzia sasa kwakua taratibu za kipolisi zimekamilika.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK