Mbowe "Nitaachia Uenyekiti Nikitakiwa na Wanachama, si CCM"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Asema wanachama ndio waliompa dhamana ya uongozi hivyo wakitaka ang'oke atafanya hivyo kwa furaha

Asisitiza kuwa kamwe hataachia uenyekiti kisa kelele zinazopigwa na Watu walioko Chama cha Mapinduzi(CCM)

Abainisha Uenyekiti wa CHADEMA sio kazi nyepesi wala haina faida na kudai ni kazi ya utume na yenye msalaba kwelikweli ambayo sio kila mtu anaweza kuifanya

Ameyasema hayo leo jijini Dar alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari katika Makao Makuu ya CHADEMA
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad