AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simba itakutana na Ndanda kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona kuwania alama tatu muhimu ili kujitengenezea mazingira ya kuutetea ubingwa wake baada ya kuubeba msimu uliopita.
Kwa mujibu wa Kocha Mkuu, Patrick Aussems, amesema kuwa kiungo Mzambia, Clatous Chama, hatoweza kumtumia baada ya kuchelewa kuripoti kambini.
Mbali na Chama, wachezaji wengine Mnyarwanda, Haruna Niyonzima pamoja na Mganda Juuko Murushid nao wanaweza wakaukosa mchezo huo baada ya kukosekana mazoezini kwa muda mrefu.
Niyonzima alichelewa kuripoti kambini na hata katika safari ya Uturuki hakuwepo sawa na Murushid ambaye alikuwa kwenye sintofahamu na mabosi wake alikuwa kwao Uganda.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK