Netanyahu Asikitishwa na Ndege ya Urusi Iliyoangushwa na Majeshi ya Syria

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Netanyahu asikitishwa na ndege ya Urusi iliyoangushwa na majeshi ya Syria
Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameelezea kusikitishwa kwake na na vifo vya raia wa Urusi waliokowemo ndani ya ndege iliyoangushwa kwa bahati mbaya na vikosi vya serikali ya Syria.

Netanyahu amemwambia Rais wa Urusi Vladimir Putin kuwa Syria ilipaswa kulaumiwa kwa kuiangusha ndege hiyo.

Maafisa wa Urusi awali waliishutumu Israel kwa kuhusika na kitendo hicho ambacho ilidai wangekilipiza kauli ambayo ilipingwa vikali na Netanyahu ambaye alisema kamwe vikosi vyake havijihusishi na matukio kama hayo.

Putin ameelezea tukio hilo kuwa ni la bahati mbaya na vikosi vyake havitarudi nyuma katika kuiunga mkono serikali ya Rais Bashar al-Assad.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad