AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Netanyahu amemwambia Rais wa Urusi Vladimir Putin kuwa Syria ilipaswa kulaumiwa kwa kuiangusha ndege hiyo.
Maafisa wa Urusi awali waliishutumu Israel kwa kuhusika na kitendo hicho ambacho ilidai wangekilipiza kauli ambayo ilipingwa vikali na Netanyahu ambaye alisema kamwe vikosi vyake havijihusishi na matukio kama hayo.
Putin ameelezea tukio hilo kuwa ni la bahati mbaya na vikosi vyake havitarudi nyuma katika kuiunga mkono serikali ya Rais Bashar al-Assad.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK