Tanzia: Gwiji wa Muziki wa Reggae Nchini Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Samwel Mleteni maarufu 'Jah Kimbute' amekutwa na mauti jioni ya jana Septemba 20 nyumbani kwake Msasani jijini Dar

Kwa mujibu wa mke wake, mipango ya mazishi na taratibu nyingine zitajulikana leo baada ya ndugu ambao wengi wanaishi Lushoto, mkoani Tanga kukutana

Amesema marehemu alikuwa akiishi na mwanae ambaye jana jioni alimkuta Jah Kimbute akiwa amefariki chumbani kwake

Jah Kimbute alitamba sana katika anga ya muziki hadi kupelekewa kuitwa 'Mfalme wa Reggae' Tanzania miaka ya 80 akiwa na kundi lake la Roots and Culture lililokuwa na makazi yake jijini Dar
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad