AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga wameeleza kuwa hawakutuma maombi kwenda kwa ajili ya kusogezewa mechi hiyo mbele kwa kuwa wana muda mzuri wa kujiandaa kuelekea mechi dhidi ya Simba.
Mabingwa hao wa kihitoria katika Ligi Kuu Bara wamesema kama Simba walituma maombi ya kubadilishiwa ratiba basi ingekuwa vema wakabadilishiwa wao pekee na si kuwahusisha Yanga ambao hawakutuma.
Bodi ya Ligi kupitia TFF iliufanyia mabadiliko mchezo wa Yanga dhidi ya JKT Tanzania ambao ulipaswa kupigwa Septemba 26 na ule wa Simnba dhidi ya Biashara United uliopaswa kupigwa Septemba 27.
Mechi hizo sasa hazitofanyika tena mpaka pale bodi itakapopanga tarehe zingine.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK