AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakazi wa kijiji cha Gitiri, wadi ya Ng’araria, kaunti ya Muranga Jumatano, Oktoba 17 walishangazwa na tukio ambapo ng’ombe mmoja alijifungua ndama aliyekuwa na maumbile yasio ya kawaida yenye vichwa viwili, miguu mitano, nyuti mbili za ngongo na mikia miwili.
Mmiliki wa ng’ombe huyo Joyce Muthoni aliyezungumza na kwa njia ya simu alisema kuwa ng’ombe wake alionyesha dalili ya kujifungua Ju
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK