AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Januaary Makamba ambaye ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano ameeleza kile alichoitiwa na Polisi. Kupitia ukurasa wake wa Twitter waziri huyo ameandika; ,
Ufafanuzi: Polisi walinipigia simu kuniomba, kama rafiki wa MO Dewji, niwasaidie kama kuna chochote cha ziada ambacho Mo aliniambia kinachoweza kusaidia uchunguzi. Niliwaeleza. Wakasema kinafanana na alichowaeleza. Wakanishukuru. Wamefanya hivi pia kwa wanafamilia. Sikukamatwa.
Utakumbuka alfajiri ya October 19, 2018 January Makamba ni miongoni mwa watu wa mwanzo kabisa kueleza kuwa Mfanyabiashara maarufu Tanzania Mohammed Dewji amerejea nyumbani akiwa salama baada ya kushikiliwa na watekaji kwa takribani siku 10.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK