AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Amani, Petit alisema anashangaa kuona watu wanasambaza umbea mitandaoni kuwa anatembea na Careen, kitu ambacho si cha kweli na binti huyo anamchukulia kama mdogo wake na ni marafiki pia.
“Watu wanasema sana juu yangu na Careen lakini hawaelewi yule ni kama mshikaji lakini kingine ni kama mdogo wangu wa karibu sana hivyo siwezi kuwaziba midomo wanaotaka kuzungumza chochote maana kila mtu amejaliwa mdomo wake wa kusema,” alisema Petit Man
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK