Baada ya Kutemana na Esma Petit Man Amishia Mapenzi kwa Mtoto wa Gardner Mwenyewe Afunguka A-Z

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya Kutemana na Esma Petit Man Amishia Mapenzi kwa Mtoto wa Gardner Mwenyewe Afunguka A-Z
MENEJA wa wasanii mbalimbali Bongo, Hemed Manungwa ‘Petit Man’ amefungukia madai ya kutoka kimapenzi na mtoto wa mtangazaji wa Redio Clouds FM, Gardner Habash, Careen kwa kusema madai hayo hayana ukweli wowote.



Akizungumza na Amani, Petit alisema anashangaa kuona watu wanasambaza umbea mitandaoni kuwa anatembea na Careen, kitu ambacho si cha kweli na binti huyo anamchukulia kama mdogo wake na ni marafiki pia.


“Watu wanasema sana juu yangu na Careen lakini hawaelewi yule ni kama mshikaji lakini kingine ni kama mdogo wangu wa karibu sana hivyo siwezi kuwaziba midomo wanaotaka kuzungumza chochote maana kila mtu amejaliwa mdomo wake wa kusema,” alisema Petit Man
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad