AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tunda ameongea hayo Ikiwa siku chache tangu taarifa zienee Kwenye mitandao ya kijamii kuwa yeye na Mrembo mwingine maarufu kama Officiallyn wanagombania penzi la staa huyo.
Wiki iliyopita kuna video ilisambaa Social Media iliyomuonyesha Tunda akibambuwa na Diamond katika Private Birthday party yake.
Tunda ambaye ameshawahi kuwa Kwenye Mahusiano na Diamond katika siku za nyuma amesema hana Mahusiano kwa sasa na Diamond na wala hamgombanii na mtu bali ni rafiki tu.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tunda ameandika posti hii:
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK