Tunda Ageuka Mbogo "Sitaki Kuhusishwa na Diamond Kwa Njia Yoyote''

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tunda Ageuka Mbogo "Sitaki Kuhusishwa na Diamond Kwa Njia Yoyote''
Video vixen maarufu Kwenye mitandao ya kijamii Anastasia Sebastian Kimaromaarufu kama Tunda amefunguka na kutoa tamko la kutotoa kuhusishwa na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz.

Tunda ameongea hayo Ikiwa siku chache tangu taarifa zienee Kwenye mitandao ya kijamii kuwa yeye na Mrembo mwingine maarufu kama Officiallyn wanagombania penzi la staa huyo.

Wiki iliyopita kuna video ilisambaa Social Media iliyomuonyesha Tunda akibambuwa na Diamond katika Private Birthday party yake.

Tunda ambaye ameshawahi kuwa Kwenye Mahusiano na Diamond katika siku za nyuma amesema hana Mahusiano kwa sasa na Diamond na wala hamgombanii na mtu bali ni rafiki tu.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tunda ameandika posti hii:
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad