AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muigizaji wa Bongo movie Esha Buheti ameibuka na kumchana Msanii mwenzake Wema Sepetu baada ya kuvujisha picha na video chafu zinazomuonyesha yeye na mume wake mtarajiwa.
Siku ya jana Wema alitengeneza headlines baada ya kumtambulisha mwanaume anayetambulika kama Patrick na kusema ndiye mume wake mtarajiwa lakini baada ya kuposti video iliyowaonyesha wawili hao wakibusiana ilizua gumzo zaidi.
Esha Buheti ambaye ni rafiki mkubwa wa Wema alishindwa kuvumilia na kumuandikia barua ya wazi ambapo amemchana laivu na kumtaka aache kufanya mambo ambayo yanamuaibisha.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Esha Buheti aliandika ujumbe huu:
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK