Hans Poppe Ajisalimisha Uwanja wa Ndege Dar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hans Poppe Ajisalimisha Uwanja wa Ndege Dar
Zacharia Hans Poppe amejisalimisha mikononi mwa Polisi jijini Dar es Salaam.

Hans Poppe ataunganishwa kwenye kesi ya kugushi nyaraka na utakatishaji inayowakabiri Rais wa Simba, Evans Aveva na makamu wake, Geofrey Nyange ‘Kaburu’.

Mwenyekiti huyo wa zamani wa kamati ya usajili ya Simba, aliondoka nchini siku chache kabla ya Takukuru kutangaza kuwa inamtafuta.

Hata hivyo, ndugu yake alieleza Hans Poppe alivyolalamika kuhusiana na Takukuru kusema wanamtafuta wakati alikuwa akienda mara kwa mara kuhojiwa.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad