AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zacharia Hans Poppe amejisalimisha mikononi mwa Polisi jijini Dar es Salaam.
Hans Poppe ataunganishwa kwenye kesi ya kugushi nyaraka na utakatishaji inayowakabiri Rais wa Simba, Evans Aveva na makamu wake, Geofrey Nyange ‘Kaburu’.
Mwenyekiti huyo wa zamani wa kamati ya usajili ya Simba, aliondoka nchini siku chache kabla ya Takukuru kutangaza kuwa inamtafuta.
Hata hivyo, ndugu yake alieleza Hans Poppe alivyolalamika kuhusiana na Takukuru kusema wanamtafuta wakati alikuwa akienda mara kwa mara kuhojiwa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK