AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kajala amefunguka na kusema zama za kutafuta sifa kwa kuonekana unakula sana bata zimepitwa na wakati kwani hivi sasa watu wanaangali zaidi kazi na kufanya mambo ya maendeleo.
Kwenye mahojiano yake Gazeti la Risasi Jumamosi, Kajala alisema yeye kuna wakati alijisahau na kujikita kwenye mambo hayo lakini sasa ameshtuka na ndio maana hawezi kuonekana viwanja ‘akitumbua’ pesa.
Unajua huu ni wakati wa mastaa kushituka na kufanya mambo yatayowasaidia wao na familia zao siku za baadaye. Mimi nimestuka, niliyokuwa nayafanya siyo mazuri ila sasa nafanya yale ambayo mtu makini anatakiwa kuyafanya“.
Kajala ni mmoja kati ya wasanii ambao wamekuwa wakionekana busy kabisa na kupiga kazi kama mtangazaji na balozi wa Biko Tanzania.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK