Kamanda Mambosasa Athibitisha Kuhojiwa January Makamba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

January Makamba Ahojiwa na Polisi Sakata la Mo Dewji Kutekwa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema jana Jumapili lilimhoji Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) kuhusu suala la mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo’

Kamanda Mambosasa amethibitisha hilo na kudai kuwa mara baada ya kumaliza kumuhoji walimwachia na kuondoka.

Makamba ni miongoni mwa watu wa kwanza kuthibitisha kupatikana kwa Mo Dewji na kuandika katika mtandao wake wa twitter.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad