AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Poppe alifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza October 16 na kusomewa mashtaka mawili ambayo ni pamoja na Shtaka la kugushi nyaraka za nyasi bandia kwa ajili ya uwanja wa Simba na kosa lingine ni la kutoa taarifa za uongo kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhuiana na uhalali wa bei za nyasi bandia za uwanja wa Simba.
Hata hivyo,Hakimu Thomas Simba baada ya makubaliano ya pande mbili kesi hiyo imeunganishwa na viongozi wengine wa Simba ambao ni Rais Evans Aveva na Makamu wa Rais Geofrey Nyange "Kaburu".
Ikumbukwe Mahakama ilitoa amri ya kukamatwa kwa Hans Poppe pamoja na Franklin Lauwo mapema Aprili 30,mwaka huu ili kuweza kuunganishwa katika kesi ambayo inawakabili viongozi hao waliokamatwa juni mwaka jana.
Baada ya wakili wa Takukuru,Leonard Swai kubadilisha hati ya mashtaka na kuwaongeza watuhumiwa hao,baada ya kuwatafuta washtakiwa hao tangu Machi mwaka huu bila mafanikio hivyo akaomba hati ya kuwakamata washitakiwa hao ambao ,hawakuwepo Mahakamani hapo.
Kwa upande wa Kesi ya inayomkabili aliyewahikuwa Rais wa TFF,Jamal Malinzi na Katibu Selestine Mwesigwa nayo inatarajiwa kuendelea leo.
Hans Poppe amejisalimisha katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) baaada ya kutafutwa kwa muda mrefu ili kuungana na wenzie katika mashataka mawili yanayomkabili ili kesi iweze kusikilizwa katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK