Masoud Djuma Ametoa ya Moyoni Kuhusu Mo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Masoud Djuma Ametoa ya Moyoni Kuhusu Mo
Aliyekuwa kocha Msaidizi wa timu ya Simba Masoud Djuma, sasa ni kocha Mkuu wa timu ya As Kigali inayoshiriki ligi kuu nchini Rwanda ametoa ya moyoni kuhusu kupatikana kwa Mo.

Djuma amesema ni jambo la kumshukuru Mungu hasa kwa muwekezaji na mfanyabiashara Mohamed Dewji "Mo" kurejeshwa salama.

"Mungu ametenda miujiza yake ,kitu kikubwa ambacho kinazidi kuongeza furaha kwa watanzania pamoja na mashabiki wa Simba,naamini kilichosaidia kumrejesha ni dua za watanzania na
dunia"alisema.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad