AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bolt amekuwa akifanya majaribio na klabu hiyo tangu mwezi Agosti mwaka huu, ambapo hivi sasa amepewa ofa rasmi wa kuichezea klabu hiyo kwa mujibu wa wakala wake.
"Kujibu kuhusiana na habari zilizoandikwa, ni kweli Usain amepewa ofa ya mkataba lakini sitoweza kuongeza zaidi ya hapo", amesema wakala wa mchezaji huyo, Ricky Simms.
Usain Bolt alifanikiwa kucheza mechi yake ya kwanza ya kiushindani kwenye klabu yake mapema mwezi huu na kufanikiwa kufunga mabao mawili, jambo ambalo liliwapa matumaini klabu hiyo juu ya kumpa mkataba.
Endapo atasaini mkataba rasmi wa kuitumikia klabu hiyo, ataunganishwa katika kikosi kinachoshiriki ligi kuu nchini Australia (A-League), ligi ambayo imeanza rasmi wiki hii kwa Central Coast Mariners kutoka sare ya bao 1-1 na Brisbane Roar.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK