AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ofisa Elimu Msingi wilayani Geita, Yese Kanyuma amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema radi mvua kubwa iliyoambatana na radi imenyesha leo asubuhi na kusababisha madhara hayo.
“Tukio hilo ya radi imetokea leo majira ya saa 3 asubuhi na kusababisha vifo vya wanafunzi sita wa darasa la pili na la tatu, wengine 25 wamejeruhiwa lakini wanaendelea na matibabu wodini. Tunawashukuru madaktari na wauguzi kwajitihada zao kuokoa maisha ya watoto hao waliojeruhiwa,” amesema Kanyuma.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK