AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli amefanya hivyo leo Ikulu jijini Dar es Salaam mbele ya wachezaji na viongozi wa Taifa Stars aliowaalika.
Baada ya kuzungumza na kuwasisitiza kuhusiana na ushindi, alikabidhi fedha hizo kwa Rais wa TFF, Wallace Karia pamoja na mmoja wa manahodha wa Stars, Erasto Nyoni.
Pamoja na hivyo, Rais Magufuli aliwasisitiza Taifa Stars kuhakikisha wanashinda mchezo huo.
“Ninakuamini Amunike, ninajua utafanya vizuri na kuwasaidia vijana wetu. Lakini ninachotaka ni ushindi. Vijana wapambane na kushinda.
“Fedha (Sh milioni 50),nilizotoa zitumike kwa wachezaji, nafata ushindi, mkishindwa mtazitapika kwa njia nyingine,” alisema Rais Magufuli akionyesha amenuia Stars kuona inashinda.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK