AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea kwenye leo tena, careen anasema kuwa haikuwa ndoa bali ilikuwa attention ya wimbo tu.
ion ili watu wakae tayari kwa ajili ya ngoma yangu mpya, haikuwa kiki pia, nilikuwa naogopa sana familia yangu kwa sababu sikutaka wazione picha zangu ndio maana petiti alizitoa za kwake.
nilianza ghafla tu kumchukua petiti kwa sababu tayari watu walishaanza kuwa natoka na petit na ili kuua ile stori ikabidi tutoe video ya washa.
Hivyo careen anawathibitishia mashabiki wake kuwa hakukuwa na ndoa wala mahusiano yoyote kati yake na Petit.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK