Rais wa Korea Ahukumiwa Miaka 15 Jela

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa Korea Ahukumiwa Miaka 15 Jela
MAHAKAMA nchini Korea ya Kusini imemhukumu kifungo cha miaka 15 jela na kumwamru kulipa faini ya dola milioni 11.5 aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Lee Myung-bak (76) baada ya kumtia hatiani kwa makosa ya rushwa.



Lee anakuwa Rais wa nne wa nchi hiyo kuhukumiwa kutumikia kifungo jela baada ya wengine watatu kufungwa kwa makosa ya rushwa.



Mwanasiasa huyo alithibitika kutenda kosa hilo wakati wa uongozi wake baada ya kupokea kiasi cha dola milioni 10 kutoka kwa kampuni ya Samsung na wakati wote wa kesi hiyo, Lee alikuwa akikana mashtaka hayo na kusema kuwa yamechagizwa kisiasa.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad