AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lee anakuwa Rais wa nne wa nchi hiyo kuhukumiwa kutumikia kifungo jela baada ya wengine watatu kufungwa kwa makosa ya rushwa.
Mwanasiasa huyo alithibitika kutenda kosa hilo wakati wa uongozi wake baada ya kupokea kiasi cha dola milioni 10 kutoka kwa kampuni ya Samsung na wakati wote wa kesi hiyo, Lee alikuwa akikana mashtaka hayo na kusema kuwa yamechagizwa kisiasa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK