AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Askofu Gwajima aliyasema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati wa ibada iliyohudhuriwa na mamia ya waumini katika kanisa lake.
Alisema wiki iliyopita walimwombea Mo Dewji kama ambavyo wamekuwa wakiliombea Taifa na viongozi wake na kama walivyoomba wakati wa mauaji ya watu Kibiti mkoani Pwani.
"Tuendelee kuwa watiifu katika kuliombea Taifa letu. Mungu wetu anasikia," alisema Askofu Gwajima huku waumini wake wakipiga makofi na kushangilia.
Kanisa la Ufufuo na Uzima ni miongoni mwa makanisa yaliyofanya ibada wiki iliyopita kumwombea Mo Dewji apatikane akiwa salama baada ya kutekwa na watu wasiojulikana alfajiri ya Oktoba 11 katika Hoteli ya Colloseum jijini Dar es Salaam na jana Jumamosi bilionea huyo alipatikana baada ya kutelekezwa viwanja vya Gymkana.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK