AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkude ataukosa mchezo huo kutokana na kuendelea kuuguza majeraha aliyoyapata katika mchezo dhidi ya African Lyon, Kotei akitumikia adhabu ya kufungiwa mechi tatu baada ya kile kilichotafsiriwa kumpiga ngumi beki wa Yanga Gadiel Michael katika mchezo wao dhidi ya Yanga.
"Kwa sasa naendelea vizuri namshukuru Mungu hivyo nina imani muda si mrefu nitakuwa sawa kwa ajili ya kuendelea kupambania timu yangu na taifa kwa ujumla"alisema Mkude.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK