AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewathibitishia watanzania kulishughulikia kwa haraka na kwa uwezo wa hali ya juu kuhakikisha Mo Dewji anapatikana.
Amewaomba watanzania na wana Dar es salaam kushirikiana na polisi katika kutoa taarifa za kiitelijensia kuhakikisha wote waliohusika na utekaji wa mfanyabaishara huyo wanatiwa mbaroni.
Amesema watu hao wanalitia doa taifa na Rais wetu kwa ujumla.
Makonda akanusha taarifa za kupatikana kwa Mo’ Dewji
Lugola amesema hayo kufuatia tukio kubwa lililotokea hapa nchini ambapo watu wasiojulikana alfajiri ya leo wamemteka mfanyabiashara mkubwa Mo Dewji na kumpeleka sehemu zisizojulikana.
Mo ametekwa katika hoteli ya Colosseum ambapo alikwa anaenda kwa ajili ya mazoezi, watu wasiojulikana walifyatua risasi na kumuingiza kwa nguvu katika gari yao.
Aidha kumekuwa na uvumi juu ya kupatikana kwa Mo Dewji jambo ambalo limekanushwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam na kusema kuwa bado jeshi la polisi kwa kutumia vyombo vyake vya usalama vitahakikisha Mo anapatikana akiwa salama.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK