AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Global Publishers wanaripoti kuwa Uwoya alikodi boti kwa mamilioni kisha kuijaza vyakula na vinywaji vya bei mbaya ambavyo navyo viligharimu mamilioni Uwoya alifanya pati hiyo ambayo ilianza muda wa saa 5:00 asubuhi hadi jioni huku akipewa sapoti na baadhi ya wasanii wenzake akiwemo Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ na mama mlezi wa Bongo Muvi, Catherine Ambakisye ‘Mama Loraa’ huku wengine wakipewa mwaliko, lakini hawakuweza kufika.
Kutokana na jeuri ya fedha anayoionesha, Uwoya hivi sasa anadaiwa kutoka na bwana wake mpya ambaye ni raia wa Nigeria. Ilisemekana kwamba jamaa huyo ndiye anayemuwezesha kila kitu Uwoya hivyo Dogo Janja ni wazi kwamba ndiyo basi tena.
Baada ya taarifa hizo gazeti la Risasi lilimsaka Uwoya ili kumhoji kuhusiana na taarifa hizo ambapo aligunguka:
Niliamua tu kufanya kwa ajili ya mashabiki wangu na timu yangu kwa jumla na ilinigharimu kama zaidi ya shilingi milioni 15 za Kitanzania maana boti yenyewe kuikodisha kwa siku nzima ni kama shilingi milioni tano na hizo nyingine (shilingi milioni 10) zilitumika kwa ajili ya vinywaji na chakula”.
Uwoya alipohojiwa kuhusu kuhusika kwa tajiri wa Kinigeria alikataa kabisa na kudai ni pesa yake mwenyewe imefanya hayo yote.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK