AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mrembo Zari The Bosslady amezidi kutoa ushauri kwa wale wanaomfutialia kwenye mitandao ya kijamii.
Zari kwa sasa ameshauri kuwa hakuna ulazima wa kuendelea kuwa na watu ambao wanaondoa furaha yake kwenye mitandao ya kijamii.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;
"Sio lazima kunga’anga’nia mtu anaesumbua na kuondoa amani yako katika mitandao ya kijamii na hata maisha kwa ujumla futilia mbali watu kama hao."-Zari
Zari The Bosslady ambaye anaishi Afrika Kusini na familia yake ni miongoni mwa warembo wenye ushawishi mkubwa kwenye mitandao ya kijamii akiwa na followers zaidi ya Milioni 4 kwenye ukurasa wake Instagram.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK