AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hitmaker huyo wa ngoma Jini Kisirani amepata ajali akiwa anaelekea kwenye birthday producer Mesen Selekta.
"Wiki hii imekuwa ina misuko sukosana kwangu na Shukuru Mungu kwa yote ilikuwa siku ya jana saa 7 usiku tulikuwa tukielekea kwenye birthday ya Messen tulipata ajali mbaya sana na Shukuru tulitoka salama japo mimi nilibanwa mkono lakini nipo salama," ameeleza Amber Lulu.
Kwa sasa Amber Lulu anafanya vizuri na wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Vuruga.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK