Benki ya Dunia Yafuta Mkopo wa Elimu Kwa Tanzania...Kisa Kizima Hichi Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Imefuta mkopo wa zaidi ya Tsh. Bilioni 700 uliokuwa utolewe kwa Tanzania kusaidia masuala ya elimu kufuatia wasiwasi uliopo kwenye sera ya kuwazuia Wanafunzi Wajawazito kwenda shule

Awali, benki hiyo ilizuia mkopo huo na kusema inafanya majadiliano na Serikali ya Tanzania na kuwa itaurejesha kulingana na makubaliano yatakayofikiwa

Kwa mujibu wa Shirika la habari la CNN, mkopo huo uliokuwa uidhinishwe na Uongozi wa benki mwishoni mwa mwezi uliopita lakini kwa sasa mpango huo umefutwa na hautaendelea tena

Aidha, hakuna takwimu rasmi za Wanafunzi wangapi Wajawazito wamekuwa wakiondolewa shuleni lakini kwa mujibu wa Kituo cha Haki za Kuzaliana cha Marekani mwaka 2013 kilisema kuwa takribani Wanafunzi Wajawazito 8,000 wamekuwa wakifukuzwa au kuondolewa shuleni kila mwaka
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad