AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Moja ya watu wa karibu wa familia ya Diamond platinumz amefunguka na kusema kuwa kwa sasa familia ya diamond imeshagundua kuwa Hamisa amekuwa akitumia jina la familia hiyo kwa ajili ya kujipatia kiki yake na muziki wake hivyo na wao kwa sasa wameamua kukaa kimya bila kumzungumzia mwanadada huyo.
Akiongea na moja ya waandishi wa kurasa za Udaku, mwanafamilia huyo anasema kuwa kwa sasa familia hiyo imegundua kuwa muziki wake hauendi kama asipowata au wao kumtaja mwanadada huyo na ndio maana hata familia hiyo akiwepo esma, mama dangote na hata zari mwenyewe hawataki kumpa kiki tena.
Akimalizia kwa kuongea hayo anasema kuwa anchomshauri hamisa kwa sasa ni kufanya kazi kwa nguvu zote kwa sababu kama jina ameshalipata kutumia jina la diamond na anatakiwa kuakza buti.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK