AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Kiukweli wanawake wa zamani wa mume wangu wananisumbua sana, kila ninapokutana nao wananipiga vikumbo, wananifanyia visa na maneno kibao yakiwatoka huku wakitaja jina la Chid, naomba niwaambie tu kuwa wanatakiwa kukubaliana na hali halisi maana aliniona ninamfaa ndiyo akanioa na kuniweka ndani hivyo fujo wanazofanya hazisaidii bali wanatakiwa watafute wa kwao,” alisema Shamsa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
dada nakuamini kuliko Mastaa wengi.wewe fanya kama huwaoni.kawaida yao binadamu hasa binadamu wa kike wanakuwa na wivu sana.mpaka uachwe ndio furaha yao.muwe nyote ngoma sare.lakini Shamsa wewe umekomaa kiakili.nakupenda.
ReplyDelete