AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mara ya mwisho Queendarleen katika moja ya Interview aliyofanya na Bongo five alisema kuwa haoni ulazima wa kumuweka hadharani mpenzi wake kwani haina maana ya kumuweka hadharani.
Aliongeza kuwa ” Yeye haishi maisha ya kujianika hadharani na mpenzi wake kwahiyo haoni umuhimu wa kumuanika hadharani’
aliogea hayo kutokana na swali aliloulizwa kwamba inasemekana wako kwenye mahusiano na msanii mwingine wa WCB ambaye ni Mbosso.
Akiadhimisha miaka kadhaa ya maisha yake Queendarleen alimpost mpenzi wake huyo na kusema ” I L❤ MYBOYFRND nitakumic sana ikianza #WasafiFestival😔”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK