AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wajumbe walioteuliwa kwa upande wa Mohamed Dewji, 'Mo' ni pamoja na Mohamed Nassoro, Hans Poppe, Dr Mohamed Janab, Muslay Lowei, Babla Gonzaranz na Octavian Umshio.
Katiba ya Simba inampa nafasi Mwenyekiti Sued Mkwabi kuteua wajumbe, amewateua Hassan Kapusi na Salim Abdallah 'Try again' ambaye aliwahi kuwa kaimu nafasi ya Rais na aliacha kugombeaa baada ya kusema kuwa amewaachia wengine kupata nafasi.
Wajumbe wapya walioteuliwa ni pamoja na Asha Baraka, Dr Zawad,Hussen Kitita,Seleman Harub na Mwina Kaduguda.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK