AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kada huyo mpya wa Chama Cha Mapinduzi, Pauline Gekul amesema hata kama watu wengi wanakosoa mimi kurudishiwa kuwania tena nafasi hiyo wana matatizo yao.
“Kwangu mimi kurudishiwa hii nafasi si zawadi bali nimepewa kazi na wamenipa wajibu wakufanya, kwa hiyo ni imani kubwa sana kwangu ambayo chama changu kimenipatia ya kuwania ubunge.”Amesema Gekul
“Na juzi nilifika ofisi ya mkurugenzi kwa ajili ya kuchukua fomu ya kuwania ubunge muhimu tu naendelea kukishukuru chama changu kipya, na nitawawakilisha vizuri wananchi wakinichagua tena.”
Hivi karibuni Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi iliwapitisha Pauline Gekul kuwania Jimbo la Babati, James Milya jimbo la Simanjiro, Joseph Mkundi Jimbo la Ukerewe na Marwa Ryoba ambaye atawania nafasi ya ubunge jimbo la Serengeti.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK