AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa kike wa Bongo Fleva ambaye ni zao la BSS 2012, Meninah Atik amesema alikuwa kimya kwa muda mrefu kutokana na kulea ambapo kwa sasa mwanaye ana umri wa mwaka mmoja hivyo anarudi kwenye gemu. Akizungumza na Over Ze Weekend, Meninah alisema kwenye ulezi kuna mambo mengi hivyo ilikuwa lazima atulie ili amlee mtoto kwanza.
“Ulezi una kazi sana hivyo niliamua kulea kwanza, lakini mpaka sasa niko vizuri siku si nyingi mashabiki wangu watanisikia tena kama kawaida,” alisema Meninah.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK