AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika vipengele hivyo alivyofanikiwa kushinda moja ya kipengele alikuwa pamoja na mpinzani wake mkubwa kwa sasa mwanadada Belcalis Marlenis Almánzar kwa jina maarufu Cardi B, ambacho kilijulikana kama ‘Best Look’ Katika Category hiyo mwanadada Nicki Minaj alikua anachuana na Cardi B, Dua Lipa, Migos na Post Malone.
Lakini pia katika kingine ambacho Nicki Minaj amefanikiwa kushinda ni ‘Best Hip Hop’ ambacho alichuana na wasanii kama:- Drake, Eminem, Migos na Traviss Scott.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK