AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea kupitia eNEWZ Shetta amesema umaarufu ambao mtoto wake anao mpaka sasa hajahusika hata kidogo kuutengeneza kwa maana hajawahi kutumia muda wake mwingi kumtangaza wala kumfanyia mtoto wake kitu chochote ambacho kingefanya jamii imfahamu au kufatilia kile anachokifanya.
"Kwa kweli umaarufu wa mwanangu Qayllah hata mimi mwenyewe unanishangaza kwa maana kila siku zinavyozidi kwenda nashangaa anafanya vitu ambavyo vinafanya watu wazidi kumpenda, yaani mpaka sasa naona kama anataka kuzidi jina la Shetta sasa maana watu wananiita baba Qayllah badala ya jina langu"aliongea Shetta.
Hata hivyo Shetta hakusita kutoa ufafanuzi juu ya nani mmiliki wa Band ya The Mafik baada ya wasanii wa Band hiyo kukana kwamba Shetta sio mmiliki wao, nakusema yeye kwa sasa ana hisa kwenye kampuni ya King Empire na ana cheo ambacho kinamfanya kumiliki kila kitu kilichopo ndani ya kampuni hiyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK