AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sister P ametangaza Kurudishwa kwenye gemu na mwanadada Matata ambaye ameamua kumsimamia ili aonyesha kipaji chake cha kuchana alichokuwa nacho tangu zamani.
Kwenye mahojiano na Global Publishers, Sister P anayetamba na Ngoma ya Tingisha alisema kuwa, kipaji anacho sana ila alikuwa hana mtu wa kumuinua na kumsimamisha hivyo anamshukuru sana Matata kwa kumfikisha alipo.
Yaani naamini hata upoteeje Mungu anaweza kukuibua kivingine kabisa kama alivyomleta Matata, yaani hapa nilipo niko vizuri kabisa na hata kama nilipotea kwa kukosa muongozo sahihi huyu dada ameniinua vilivyo kabisa“.
Miaka ya nyuma Sister P aliwahi kutamba na ngoma yake inayoitwa ‘Anakuja’ lakini alijizolea umaarufu zaidi Baada ya kuwa na Bifu na msanii mwenzake anayeitwa Zay B.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK