Young Dee Aibukia Kwenye Gospel

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Young Dee Aibukia Kwenye Gospel
Mwanamuziki David Genzi maarufu kama Young Dee amefunguka na kuelezea ujio wake mpya wa nyibo yenye maadhi ya injili, wimbo ambao ameimba kwa ajili ya kumshukuru mungu kwa mambo aliyomtendea mpaka hapo alipofikia.

Young Dee anasema kuwa wimbo huo ambao atamuweka msanii mwenzake Ben pol utakuwa moja ya nyimbo za kusisimua kwa sababu uatkuwa na hadithi ya maisha yake halisi na mafanikio na mapito yake kwa ujumla.

Katika ukurasa wake wa instagram, Young dee aliandika stori ya mtu aliyeumwa kwa masaa manenane tu  lakini kutumia gharama ya zaidi ya milion 14 kwa ajili ya matibabu, hata hivyo anasema kuwa pamoja na yote mtu huyo alijua kuwa kama sio mungu basi wala pesa zake zisingekuwa kitu , hivyo kwa historia hiyo fupi aliyoiweka young dee katka ukurasa wake, mwishoni alimalizia kwa kusema

“hapa mimi nawaza kuandika wimbo wa kumsifu mungu muweza wa yote,,aisee #amgrateful  ,,,oii @benpol niandalie chorus baller

Wasanii wengi sasa wameanza kutumia style hii ya kuingia katika muziki wa injili ya kufaya vitu tofauti ambavyo pamoja na kwamba wanamshukuru Mungu lakini pia inaleta radha mpya kwa mashabiki.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad