Daimond Akabidhiwa Shule Sumbawanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Daimond Akabidhiwa Shule Sumbawanga
Msanii Bongo Fleva, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ameweka jiwe la msingi na kukabidhiwa Shule ya Senti ambayo wamemuomba iitwe jina la Diamond katika Mtaa wa Senti wilayani Sumbawanga leo, Jumamosi, Desemba 8, 2018.



Diamond amefanya tukio hilo alipokuwa ametembelea wilaya hiyo kwenye ziara yake ya muziki, ‘Wasafi Festival’ ambalo linategemewa kufanyika leo. Mradi wa shule hiyo umepungukiwa na kiasi cha Tsh. Million 68 ili kuweza kukamilika na shule ifunguliwe ifikapo Januari 2019.



Aidha, Diamond ameahidi kwamba kwa kiasi kilichobaki Watamalizia wote, “Mimi nathamini sana elimu na niwaahidi kitu kimoja kwamba, ujenzi huu uliyobaki, nitaumalizia wote,” aliahidi Diamond kwa wananchi mbele ya uongozi wa shule hiyo
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad