AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diamond amefanya tukio hilo alipokuwa ametembelea wilaya hiyo kwenye ziara yake ya muziki, ‘Wasafi Festival’ ambalo linategemewa kufanyika leo. Mradi wa shule hiyo umepungukiwa na kiasi cha Tsh. Million 68 ili kuweza kukamilika na shule ifunguliwe ifikapo Januari 2019.
Aidha, Diamond ameahidi kwamba kwa kiasi kilichobaki Watamalizia wote, “Mimi nathamini sana elimu na niwaahidi kitu kimoja kwamba, ujenzi huu uliyobaki, nitaumalizia wote,” aliahidi Diamond kwa wananchi mbele ya uongozi wa shule hiyo
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK