Maisha ya sasa hayataki wasichana wazuri - Irene Paul

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa Filamu nchini, Irene Paul amesema kuwa maisha ya sasa hivi hayataki wasichana wazuri ila yanataka wanawake wenye akili. 

Msanii huyo ameiambia Dizzim Online kuwa yeye kama mama hawezi akamtegemea mume wake kumletea kila kitu ila kinachotakiwa ni kusaidiana. 

"Tunaenda kisasa zaidi, maisha ya sasa hivi hayataki wasichana wazuri, maisha ya sasa hivi yanataka wanawake wenye akili wanawake wanaojua kutafuta, mimi nikiwa kama mke kama mama siwezi kusema nitamtegemea mume wangu kuniletea kila kitu, siwezi nikasema nikamtegemea yeye afanye kila kitu oviously tunatakiwa kusaidiana kama hivyo," alisema Irene.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad