Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA , Salum Mwalimu Akamatwa na Jeshi la Polisi Iringa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA (Zanzibar), Salum Mwalimu, leo Jumapili, Desemba 16, 2018 amekamatwa na polisi Mafinga mkoani Iringa akiwa anaelekea kwenye kikao cha ndani cha chama chake.


Ofisa habari wa Chadema, Tumaini Makene amesema Mwalimu alikamatwa akiwa katika gari akielekea katika kikao hicho, akitokea Kanda ya Nyasa.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad