Rostam Waahidi Kufanya Makubwa Funga Mwaka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rostam Waahidi Kufanya Makubwa Funga Mwaka
WASANII  wanaounda kundi la Rostam, ambao ni  Roma Mkatoliki,  Stamina na Maua Sama, leo wamewathibitishia wapenzi wa burudani kufanya shoo ya nguvu ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar usiku wa kuamkia mwaka mpya 2019.



Nyota hao ambao watapiga shoo ya pamoja, wamesema katika mkutano na wanahabari uliofanyika leo katika Ofisi za Global Group zilizopo Sinza-Mori jijini Dar kwamba kama kawaida yao katika onyesho hilo hawataangusha mashabiki wa burudani na kuahidi sapraiz kibao za wasanii.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad