AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hata hivyo baada ya hapo zamaradi alikuwa kimya kwa muda mrefu lakini anaoenaka kurudi tena na safari hii ametangaza kuwa anatarajiakufungua tv yake mwenyewe.
Lakini kati ya watu ambao mwanadada huyo aliwasifia alikuwa ni mtangazaji Sam misago kutoka EATV anaentangaza kipindi cha FNL.
Katika ukurasa wake , Zamaradi aliandika “ewsasa hivi ninahitaji kuku na kuwa na vitu vyangu mwenyewe, kuna mtukama sam misago sijui yuko wap lakini amekuwa akifanya vizuri sana.na mimi ninahitaji kufungua zamaradi tv kwa sasa, kwaio nimechukua mapumziko ili kuanzisha vitu vyangu mwenyewe
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK